⬇⬇ Join Now to Earn Upto 15$ Daily Totally Free⬇⬇

header ads

Harmonize arudi na Amapiano baada ya Wapo, aahidi ngoma ya kufungulia mwaka


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya @kondegang @harmonize_tz ameachia video ya ngoma yake ya Anajikosha hii ni kutokana na utaratibu wakel


Harmonize ameahidi kuwa hiyo ni trialler ngoma ya kufungulia mwaka inakuja akiwa na Anjella msanii mpya kutoka konde gang

Post a Comment

0 Comments

Search This Blog